"Nidhamu tuliyoitengeneza wanaweza kugombea watu 100, vikao vitaanza kwa ngazi husika kwenda kuchuja ili tupate mgombea ambaye tuna hakika kati ya hao watatu yeyote atakayechaguliwa ana sifa ya kupeperusha bendera ya CCM na kupata ushindi" - Issa Gavu, Mjumbe wa kamati kuu CCM
Kupata matukio...