Makamu Mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Wegesa Heche amesema yeye na viongozi wote hawakuachiwa kwa makubaliano maalum wala hakuna mazungumzo waliyofanya wakati alipokamatwa kama ambavyo imekuwa ikidaiwa.
Heche ameyasema hayo leo Novemba 11, 2025 baada ya...