Happiness Seneda ambaye alikuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe amewaaga Watumishi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa huo na kuweka wazi mipango yake ya kwenda kuwania Ubunge katika Jimbo la Geita.
Seneda amesema anamshukuru Rais Samia Suluhu kwa kumpa nafasi hiyo ya Katibu Tawala na kwamba alikuwa mmoja...