hamisi kigwangalla

Hamisi Andrea Kigwangalla (born 7 August 1975) is a Tanzanian politician for the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and Member of Parliament for the Nzega constituency since 2010. After 2015, the Nzega constituency was split, and as a result, he took over as a member of parliament for the newly formed Nzega Rural following the 2015 general elections.

View More On Wikipedia.org
  1. GE2025 Hamisi Kigwangalla ashauri kesi ya Tundu Lissu ifutwe

    Aliyekuwa Mbunge wa jimbo la Nzega Vijijini (CCM) Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri kutafutwa kwa namna itakayowezesha kufutwa kwa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu Katika machapisho yake ya septemba 30.2025 aliyoweka kwenye mtandao wa...
  2. GE2025 Kigwangalla kuhusu Kura za Maoni: Safari hii nimezidiwa Maarifa, matokeo yoyote ni halali tunasubiri Vikao

    Hamisi Kigwangalla amezungumza mbele ya kamera kwa mara ya kwanza baada ya kubwagwa kwenye Kura za maoni nafasi ya Ubunge na amesema; "Kwenye ushindani linaweza kutokea jambo lolote, hata timu nzuri saa nyingine hushindwa na timu ya hovyo hovyo" Saa nyingine wanasema hata Saa mbovu husema...
  3. W

    GE2025 Hamisi Kigwangalla abebwa juu juu na wananchi wa Nzega vijijini

    Kupitia ukurasa wa akaunti yake ya Instagram mtia nia wa jimbo la Nzega vijijini ameandika haya "Kupitia Kazi Inayoongea! “kuna watu mtakuja mtasema maneno mengi sana Kwa sababu zenu mbali mbali; lakini muwe na uhakika pia kujua na kusema kuwa si rahisi kufikia hapa, I put in the work in this...
  4. PreGE2025 Kigwangalla: CCM haijasema chochote kuhusu Gwajima, Chama haikimzuii mtu kuhoji

    Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla, akizungumza na Clouds TV, Juni 18, 2025, amesema; "Chama cha Mapinduzi CCM hakimzuii mtu kuhoji. Mtu yoyote anaweza kuhoji chochote na hakatazwi yoyote. Mfano Luhaga Mpina anaongea ulishawahi kusikia amekatazwa na mtu kuongea? Hata juzi ameunga...
  5. Kigwangalla: Watumishi wanaotajwa na CAG wawajibishwe, Ripoti iwasilishwe Bungeni kudhibiti Madaraka makubwa ya Watendaji

    Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt. Hamisi Kigwangalla amependekeza maazimio na mapendendekezo yanayotolewa na Bunge kuhusu ripoti ya Mkaguzi wa Hesabu za Serikali CAG yasiishie tu hewani bali wanaotajwa kwenye ripoti wawajibishwe huku akisisitiza kanuni zitakazoboreshwa zizingatie mfumo wa...
  6. Nimelia sana baada ya kuona sanamu jipya la Mwalimu Nyerere nchini Cuba. Waziri Ndumbaro naomba ujitafakari!

    Wakuu, Hivi inakuwaje kila mara hawa viongozi wa serikali wakitaka kuchonga sanamu la baba wa taifa huwa wanakosea? Kuna hili sanamu jipya la Mwalimu Nyerere huko nchini Cuba kiukweli imenishangaza sana kuona Waziri Ndumbaro amelipitisha na kuona kuwa linafaa. Soma pia: Sanamu ya Abraham...
  7. Hamisi Kigwangalla: Siasa na Uongozi ni Vita, niliomba kujiuzulu mara mbili, bila kulindana mnajikuta mnamalizana

    Kumbe Hamisi Kigwangalla aliwahi kuandika barua za kujiuzulu Uwaziri mara mbili akiwa Wizara ya Maliasili, akidai sababu ni vitu vya kipuuzi na masuala ya umbeya. Barua ya kwanza ilichanwa mbele yake, na ya pili hajui iliishia wapi, lakini hakuondolewa baada ya vikao kadhaa. "Mimi nimewahi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…