Hamad Rashid Mohamed (born 1 March 1950) is a Tanzania-Zanzibarian politician and former cabinet Minister.
In July 2015, he defected from the Civic United Front to the Alliance for Democratic Change.
Mgombea urais wa Chama cha ADC visiwani Zanzibar, Hamad Rashid Mohamed, ameahidi kupunguza gharama za mchele maarufu wa Mapembe endapo Wazanzibari watamchagua kuwa rais.
Amesema kuwa moja ya vipaumbele vyake ni kuhakikisha "mchele wa Mapembe" unapatikana kwa bei nafuu ya shilingi 1,200 za...