Inasikikitisha sana nchi hii tumekosa uhuru ndani ya Tanganyika yetu, mtu unatembea barabarani ukiwa na mashaka ya kutekwa, hata unapolala pia ni mashaka tupu ujui kama jua la kesho utaliona.
Ukimsikiliza Mama yake Polepole na familia yake inavyozungumza kwa masikitiko makubwa inaudhunisha kwa...