Mahakama Kuu imeamuru kutaifishwa kwa mali zenye thamani ya shilingi milioni 76.2 zinazomilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Kaunti ya Kiambu, Ferdinand Waititu, ikiwemo kurejeshwa kwa vipande viwili vya ardhi vyenye thamani ya shilingi milioni 32 kila kimoja, baada ya kushindwa kueleza kwa njia...