Mapema leo Juni 28, 2025 aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa katika Mikoa ya Geita, Mara na Mwanza Mhandisi Robert Gabriel Luhumbi, amefika Ofisi za Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Geita na kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Geita Mjini katika uchaguzi wa mwaka 2025.
Injinia Gabriel ambaye siku...