Wakuu,
Ni mwendo wa kuendelea kuangalia panapovuja mpaka iache kunyesha.
https://www.youtube.com/live/7DyNX31-xaQ?si=rDbUhzxMfwptm2Q-
Meza Kuu inajumuisha;
Henry Kileo - Mwenyekiti CHADEMA Mkoa wa Kinondoni - Nimekaa kwenye chama kwa uaminifu sana, lakini chama sasa kimepoteza muelekezo...