Wakuu, haya wacha tuone leo ni nani anajiahibisha leo na kuutangazia umma anaenda kuchukua 'chai' kwa CCM.
====
G55 Morogoro kuzungumza na waandishi wa habari kujiondoa CHADEMA
https://www.youtube.com/live/Oniq6b-NIn4?si=yCSNQyRnUYtwXCfy
Meza Kuu inajumuisha;
Devotha Minja - ameanza kwa...