Uwezi kuniambia leo unataka kutajirika kwa kuuza CD na DVD miaka hii.
Miaka ya nyuma kampuni ya maji Kilimanjaro ndio ilikuwa kampuni ambayo kila shuguli,mikutano,harusi lazima yawepo.
Baada ya wakina bhakresa nao wakajikita na maji kandoro na mwisho kuwa ya bongonyo.
Lakini leo kila mkoa...
Mteja akiwekeza fedha zake kwenye Hati fungane ( security Bond) mkikubaliana ulipwe Kila baada ya mwezi faida,Kuna changamoto mbili.
1) Ukiweka kwenye account Yako ya UTT Hela hazionekani kwenye mfumo mpaka baada ya 2 mpaka tatu. ( Kwakuwa wanatumia system sioni mantiki ya siku tatu Hela...
Miongoni mwa nchi zinazoongoza kusini mwa jangwa la Sahara ni Tanzania na mji wake mkuu wa kibiashara, Dar es Salaam, zimepata nafasi muhimu katika ramani ya uwekezaji duniani kwa kuwa nafasi ya 3 katika miji mizuri kuwekeza Afrika.
Ripoti ya hivi karibuni kutoka KPMG, "Doing Deals in...
dar es salaam
fursakwawawekezajifursa uwekezaji tanzania
fursa za uwekezaji
mazingira ya uwekezaji
uwekezaji afrika
uwekezaji dar
uwekezaji tanzania
wawekezaji