Mtu anapevuka na KUWA na uwezo wa kuzalisha au kuzalishwa mtoto siku hiyo huyo mtu amekuwa mtu mzima.
Yaani mtu anaanza kuhesabika ni mtu nzima (adult) akimaliza Darasa la Saba.
Umri wa miaka ya ujinga ( foolish age) ni ujanja wa wazungu kutuzubaisha.
Nimekuja kuifuatilia hata wanafunzi wa...