Meneja wa Bandari ya Mtwara, Ferdinand Nyathi amesema Serikali imegharamia na kuisadia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kusaini mkataba na Mkandarasi ambaye ni kampuni ya China Harbour Engineering ( CHEC) kwa ajili ujenzi wa Bandari ya Kisiwa Mgao kwa thamani ya shilingi bilioni...