Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Vijana na Wanawake (TAFEYOCO), Elvis Makumbo, amewashauri vijana kulinda amani iliyopo nchini na kuepuka vishawishi vilivyopo kwenye mitandao ya kijamii, vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani nchini.
“kwa hiyo wanahamasisha baadhi ya watu ikiwezekana hata...