Hivi unaijua elimu ya Rais Samia kwa mtaala wa Tanzania?
Hivi mnajua kuwa kidato cha nne hakufanya vizuri?
Hivi mnajua huyu ndiye Rais wetu na hii ndiyo level yake ya elimu?
Baada ya hapo akaenda chuo kikuu cha mzumbe kusomea diploma ya utumishi wa umma.
Soma pia: Polepole: Mchakato wa CCM...