24 Mei, 2025. Arusha, Tanzania
Taarifa kutoka Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki kuhusu Kukamatwa, Kuteswa na Kuachiliwa kwa Bw. Boniface Mwangi na Bi. Agather Atuhaire, na Wito wa Kuwajibika
Jumuiya ya Wanasheria Afrika Mashariki (EALS) inalaani vikali kukamatwa kiholela, kuzuiliwa bila...