Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Mashaka Biteko akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa programu ya utoaji majiko ya umeme kwa bei ya ruzuku kwa wafanyakazi wa TANESCO katika ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma amesema bado kuna ziada kubwa ya Umeme nchini ambayo...