Rais wa shirikisho la sanaa za maonyesho Tanzania Dkt Cynthia Henjewele amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge jimbo la kigamboni jijini Dar es Salaam kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwezi oktoba mwaka huu.
Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu...