Wengi tunauchukulia uongo kama ujanja wa kuishi au kutawala. Tunadanganya ili tupate nafasi, kupenya kwenye ulaji, kujiokoa, au kuonekana wema. Lakini taratibu, bila kujua, tunajenga taifa linaloharibiwa na uongo wa kila siku.
Biblia inasema nini juu ya uongo?
“Midomo ya uongo ni chukizo kwa...