Haijatokea Tanzania kuwa na uchaguzi wa aina hii , naomba wauliza wazee wetu
1. Mzee Kikwete
2. Mzee Warioba
3. Mzee Butiku
4. Mzee wasira
5. Malichela na wengine, hivi katika taifa hili kuwewahi kuwa na uchaguzi wa namna hii , kwanini sasa leo hii na mpo hamjafa ?
Hapana wazee wangu, hapana...