Kutokana na kifo cha aliyekuwa mgombea wa ubunge wa Jimbo la Siha mkoani Kilimanjaro kupitia Chama cha Wananchi (CUF), Daudi Ntuyehabi, Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imesitisha shughuli za kampeni za ubunge katika jimbo hilo hadi maelekezo mengine yatakapotolewa.
Ntuyehabi, alifariki...