Ni majira ya saa tisa usiku. Dunia imelala, lakini macho yangu yamekataa mapumziko. Usingizi umetoweka kama kivuli kinachokimbia mwanga. Ghafla, sauti isiyo na uso inanong’ona ndani ya kichwa changu: “Andika kuhusu matukio ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, kabla, wakati, na baada.” Nageuka kulia...