Habari wadogo zangu Kwa wale waliomaliza mwaka huu waliosoma PCB &PCM naomba niwaelezee course ambazo zinahuitaji mkubwa sana Kwa upande wa afya serikalini Mimi ni mtumishi wa afya nitakushauri usome hii kama unahuhitaji wa ajira wa haraka serikalini au private.
1.physiotherapist
2.Radiology...