coco beach haiuzwi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwigulu: Coco Beach haiuzwi, ni ya Wananchi

    Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa ufafanuzi rasmi kuhusu hatma ya eneo la Coco Beach, akisisitiza kuwa halitauzwa kwa mwekezaji yeyote bali maboresho yatafanyika kwa manufaa ya wananchi waliopo katika eneo hilo. Amesema hayo leo, Machi 29, 2026, alipotembelea eneo la Coco Beach jijini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…