Kijana raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 17, Dunia Tuhenya, amepigwa risasi na kuuawa siku ya Ijumaa jioni katika jiji la Newburg, jimbo la New York, Marekani, tukio lililozua huzuni kubwa miongoni mwa jamii ya wenyeji na Watanzania waishio ughaibuni.
Kwa mujibu wa Polisi wa jiji hilo...