Mgombea ubunge Kwa tiketi ya chama Cha ACT Wazalendo Jimbo la Kigoma Mjini Zitto Kabwe ameahidi Kutatua changamoto ya ardhi inayowakabili wananchi wengi iwapo atachaguliwa.
Soma Pia: GE2025 - Zitto azindua Kampeni Kigoma Mjini aahidi kupigania haki za kiraia