Unaweza kusema mvua imetibua uzinduzi wa kampeni za Chama cha Kijamii (CCK) zinazoendelea leo Jumamosi, Agosti 30, 2025, katika viwanja vya Kwa Tesha, Mbagala Kijichi jijini Dar es Salaam.
Hata hivyo, licha ya mvua hizo, wafuasi wa chama hicho waliendelea kubaki kwenye matenti yaliyokuwa...