Mgombea urais kupitia Chama cha Democratic Party (DP), Abdul Mluya leo Jumatano Agosti 13, 2025 ameongoza msafara wake kuelekea Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) zilizopo mtaa wa Njedengwa, jijini Dodoma, kuchukua fomu ya uteuzi.
Soma pia: Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha...