Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA) kinalaani vikali vurugu, mauaji, na uharibifu wa mali vilivyotokea wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025, na kinatoa pole kwa wote waliopoteza ndugu au mali. TPBA inaunga mkono agizo la Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan la kufanya uchunguzi wa kina na...