Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Pwani kimewateua Baraka Mussa Nandonde kukaimu nafasi ya aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Kanda hiyo, na Isaya Mwita kushika nafasi ya mweka hazina wa CHADEMA kwa ukanda huo.
Taarifa hiyo imetolewa Desemba 24, 2025, na Katibu wa CHADEMA Kanda...