chadema musoma mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. PreGE2025 CHADEMA Musoma Mjini wataka Julius Mwita aombe radhi ndani ya siku 14 baada ya kuipinga "No Reforms No Election"

    Wakuu, Wanachama wa CHADEMA Jimbo la Musoma mjini kimemtaka Julius Mwita aombe radhi ndani ya siku 14 kwa kupinga kampeni ya ‘No Reforms, No Election’ na kuidhalilisha kampeni ya tonetone, la sivyo atafutiwa uanachama na kuzuiwa kushiriki jukwaa lolote la chama hicho. Makada hao wamelaani...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…