CCM imetangaza kuitisha Mkutano Mkuu wa dharura siku ya jumamosi bila kuwekwa wazi agenda za mkutano huo.
Hii ni kwa mara ya kwanza katika historia ya chama hicho hasa kwa mkutano mzito kama huo wenye wajumbe zaidi ya elfu 2 nchi nzima.
Makatibu wa mikoa na wilaya wameagizwa kufanya...