cafcl

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    FT: CAFCL Group Stage: Young Africans 1-0 Far Rabat | New Amani Complex | 22/11/2025

    Mabingwa wa Tanzania, Yanga leo wanaanza kucheza mechi ya kwanza dhidi ya Far Rabat ya Morocco katika mechi ya kwanza ya group B, katika mechi itakayochezwa kwenye uwanja wa Amani Complex, Zanzibar
  2. CAFCL Group Stage: Yanga yawekwa kundi moja na Al Ahly, Simba wapewa Esperance

    Upangaji wa makundi ya CAFCL umekamilika kwa Yanga kupangwa kundi moja ya Al Ahly wakati Simba itakuwa kundi moja na Esperance
  3. Yaani upangwe na Waarabu wote CAFCL halafu Wasitumie 'Wese' lao kukutoa mazima Mashindanoni?

    Nashauri tuanze mapema kutoa sababu za kutolewa kwani Waarabu watambikiri Mtu kote kote Dar na Cairo Kudadadeki. Asanteni sana CAF kwa hii Draw na sasa tutaheshimiana. Kweli CAF safari hii wameamua Kumkomoa Mtu hadi Akili zimkae sawa.
  4. FT: Yanga SC 2 - 0 Silver Strikers | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 25/10/2025

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Yanga SC jioni ya leo wataingia uwanjani kurudiana na timu ya Silver Strikers kutoka Malawi Katika mechi ya kwanza iliyofanyika jijini Lilongwe nchini Malawi, Silver Strikers waliibuka na ushindi wa goli moja kwa bila Je Yanga leo watapindua...
  5. FT: Yanga SC 2-0 Wiliete | CAFCL | Second Preliminary Round | Second Leg | Mkapa Stadium | 27/09/2025

    Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya CAFCL, Young Africans (Yanga) jioni ya leo wanaingia uwanjani kukipiga na Timu ya Wiliete kutoka Angola katika mechi ya marudiano. Katika mechi ya kwanza iliyofanyika Angola, Yanga walitoka na ushindi wa goli 3-0 dhidi ya wawakilishi hao wa Angola Je...
  6. Kama Yanga ni timu kubwa na inafanya vyema kwanini kila mwaka inaanzia Shule ya Msingi CAFCL na Simba isiyofanya vyema inaanzia Chuo Kikuu CAFCL?

    Kazi yangu kubwa leo ni kusoma tu Comments zenu ili nicheke na nisikitike.
  7. Nilipotazama kwa mara ya kwanza uchezaji wa Pyramids hatua ya makundi, Nilitambua watakuwa mabingwa CAFCL

    Japo si kwa 100% of course doubts kidogo zilikuwepo kutokana na uwepo wa giants kama Al Ahly na Mamelodi, Lakini nilipotazama mchezo wa pyramids dhidi ya esperansa nilisema kwakweli isingekuwa fair kwa football kama hawa Pyramids hawatakuwa mabingwa wa CAFCL, Nilipata uhakika zaidi baada ya...
  8. Full Time: Pyramids FC 2 - 1 Mamelodi Sundowns FC | CAFCL Final | 2nd Leg | 30 June Stadium | 01-06-2025 (Ag 3 -2) Pyramids Mabingwa

    Match Day Pyramids FC Vs Mamelodi Sundowns FC | CAFCL Final | 2nd Leg | 30 June Stadium | 01-06-2025 2000hrs VIKOSI VYA LEO Pyramids Mamelodi Tukutane hapa kwa Updates zote Muhimu!! Mchezo umeshaanza! Fiston Mayele anawapatia goli safi Pyramids dakika 23 Dakika 7 zimeongezwa kufidia...
  9. FT | Mamelodi 1-1 Pyramids | Fainali ya CCL - 1st Leg | Loftus Versfeld | 24.05.2025

    Mechi ya mkondo wa kwanza ya fainali ya CAF Champions League kati ya Mamelodi Sundowns na Pyramids FC itachezwa saa kumi jioni kwenye uwanja wa Loftus Versfeld. Kaa nami hapa kwa matukio ya kusisimua kuhusu mechi hii kali Tayari Kombe lipo uwanjani Vikosi vya timu zote Mechi imeanza...
  10. CAF wazindua Kombe jipya la CAF Champions League (CAFCL), huu ndio muonekano wake

    CAF wamezindua Kombe jipya la CAF Champions League (CAFCL), huu ndio muonekano wake.
  11. CAF yaamuru mechi ya fainali Simba Vs Berkane ichezwe New Amaan, Zanzibar Mei 25, 2025

    Wakuu! CAF kupitia barua yao imewaambia TFF na Simba SC kuwa mchezo wa fainali ya pili ya CAFCC kati ya Simba dhidi ya Berkane ipigwe New Amaan Complex visiwani Zanzibar. Pia, Soma: Mwana FA: Fainali ya Simba dhidi ya RS Berkane itachezwa Benjamin Mkapa CAF imesema uamuzi huo ni baada ya...
  12. T

    Simba ya Fadlu ni 'Cold blooded animal ' Kombe la CAF Confederation kubaki Tanzania

    Simba hii imekuwa ya kushangaza, ni Simba ambayo Sisi Wana Simba tumeyasikia mengi! Cha kushangaza, toka Tu uongozi ulipomtangaza kocha mpya NI Fadlu. Ukweli yalisemwa mengi ya kejeri nk. Eti kocha hajawai kuwa kocha mkuu, ataiwezaje Simba! Niliwahi waambia watu kuwa ubuyu ulianza Kama mchicha...
  13. Al Ahly yamtimua kocha siku moja baada ya Mamelodi kuwatibulia CAFCL

    Klabu ya Al Ahly imemtimua kocha wake, Marcel Koller siku moja baada ya timu hiyo kutupwa nje ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini. Katika taarifa iliyotolewa leo Jumamosi Aprili 26, 2025 uongozi wa Al Ahly umethibitisha kuwa umefikia makubaliano ya kuvunja mkataba...
  14. B

    Utabiri wa bingwa CAFCL, CAF Confederation na NBCPL 2025

    Hello! Bila kupoteza muda. Bingwa wa CAF CHAMPION LEAGUE atakua Pyramids FC baada ya kumshinda Al Ahly kwenye fainali. Bingwa wa CAF Confederation cup atakuwa RS BERKANE baada ya kumpiga Gori zaidi ya 2 SIMBA SC kwenye uwanja wake wa nyumbani kule Morocco. Kwa maana hiyo Simba SC atacheza...
  15. Nina uhakika 100% kama Simba ingeshiriki CAFCL kwa kikosi hiki isingeweza kufuzu hatua ya makundi

    Kuna wakati inabidi mashabiki wa Simba wawe na shukrani, Maana kama hiki ndicho kikosi chao cha kwanza, na aina hii ya uchezaji, basi nina uhakika 100% wasingeweza kufuzu hatua ya makundi katika mashindano ya Mabingwa wa bara la Afrika. Wanapaswa kuoshukuru sana Azam na kushukuru kudondokea...
  16. Rasmi Yanga imefuzu kushiriki tena mashindano ya wakubwa CAFCL 2025/2026

    "Sijaskia Wachambuzi na Waandishi wakiliongelea hili lakini Young Africans SC mpaka sasa imeshakata tiketi ya kushiriki Mashindano ya Klabu bingwa Afrika msimu ujao na ndio malengo na shauku ya kila mwanayanga ilipo, sisi Yanga hatuwezi kujiliza kwenye Kombe la Shirikisho ni Kombe ambalo...
  17. Mamelodi Sundowns 0 - 0 Al Ahly SC | CAFCL | Semi-Final | 1st Leg | Loftus Versfeld Stadium | 19-04-2025

    πŸš¨π™‚ 𝘼 π™ˆ 𝙀 𝘿 𝘼 π™”πŸš¨ ⚽ Mamelodi Sundowns vs Al Ahly FC πŸ“† 19 April ⏰ 16H00 🏟 Loftus Versfeld Stadium Mtanange mkali sana huu! Mimi nitakuwa tayari kuwapa updates zote muhimu kwa Siku ya leo. Binafsi nawatakia Masandawana Kila la heri. VIKOSI VINAVYOANZA LEO. Mamelodi Sundowns Al Ahly...
  18. Yanga haitacheza tena robo fainali ya CAFCL hadi itakapofika mwaka 2076

    Ilichukua miaka 53 toka mara ya mwisho Yanga kucheza robo fainali ya CAFCL hadi waliporudia tena msimu wa 2023-24. Kama tukienda na takwimu hizi zinavyosema, na tukiangalia mwenendo wa hii timu ambayo kila siku wanafukuza makocha, na wachezaji, viongozi na mashabiki wao wameamua kucheza Sinema...
  19. Ni kawaida Matola kuwakazia Simba SC akiwa na Timu nyingine, ila siyo kwa Mnafiki na Mnazi Kally kuwakazia waliotupwa CAFCL

    Kwahiyo wala msipoteze muda wenu kusubiria Matokeo yao ya Kesho au Keshokutwa hapo Mwenge Kwao kwani si tu kuwa Watafungwa bali Watafungwa nyingi sana.
  20. Droo ya robo fainali ya CAFCL & CAFCC itafanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha Alhamisi, Februari 20, 2025.

    Droo ya robofainali ya #TotalEnergiesCAFCL & #TotalEnergiesCAFCC itafanyika katika mji mkuu wa Qatar, Doha, kwa ushirikiano na mshirika wa haki za vyombo vya habari wa CAF, @beINSPORTS_EN siku ya Alhamisi, Februari 20, 2025. Hatua iko tayari tunapopanga ratiba ya kusisimua ya robo fainali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…