bunge la eu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwa mambo kama haya maridhiano yatapatikana? Au wamechukia Lissu katajwa na Bunge la EU?

    Hawataki kabisa Lissu atembelewe na makada wa CHADEMA
  2. Wabunge wa EU watoa tamko kutekwa kwa Polepole

    Kutekwa kwa aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, kumeendelea kuzua mjadala mpana, baada ya wabunge wa Umoja wa Ulaya (EU) kulaani tukio hilo na kulitaja kuwa la kutisha linalohitaji hatua za haraka. Katika taarifa iliyotolewa jana Oktoba 10, 2025, kwa pamoja na wabunge...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…