Wakati Watanzania wengi wanasubiri kwa hamu bajeti ya serikali kwa mwaka wa fedha 20111/2012, hali ya maisha inazidi kupanda. Hapa Dodoma wananchi wa kawaida wanaendelea kutafuta riziki zao, huku wengi wao wakiwa hawategemei jipya katika bajeti hiyo.
Wananchi wengi wanasema bajeti haiwasadii...