Tangu kumalizika kwa Uchaguzi Mkuu wa tarehe 29 Oktoba 2025, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imeuza jumla ya Dola za Kimarekani milioni 168 kwenye soko la fedha la mabenki – Interbank Foreign Exchange Market (IFEM). Hiki ni kiasi kikubwa na cha mara kwa mara ambacho hakijawahi kuonekana katika...