Huyu mwanadada Jennifer Jovin(Niffer) ambaye kwa sasa ndio mwanamke mwenye IQ kubwa ya upambanaji ukilinganisha na vijana wenzie kama Zuhura wa Mondi, atahakikisha anawainua vijana wenzake, amedhamiria kuanzisha big brother Tanzania punde tu pilika pilika za uchaguzi zitakapoisha.
Kwa maelezo...