biashara ya mahindi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Yule kijana wa mkopo Milioni 30: Fuatilia nilivyofanya kwenye Mahindi Sasa natafuta masoko ya mazao mengine

    Habarini wadau: Kama ulifatilia thread yangu ya April , Niliomba ushaur wa kuchkua mkopo wa Milion 30 kwajili ya Biashara ya mahindi na mkanipa ushaur mzur na nikatekeleza na wapo walionirudisha nyuma pia ila Nikaona hizi ni changamoto za kawaida. Ushauri: Nahitaji kuchukua mkopo wa milioni 30...
  2. C

    Ushauri: Nahitaji kuchukua mkopo wa milioni 30 kwajili ya biashara ya mahindi

    Habar mimi naishi Dar nataka niombe mkopo wa million 30 kwajili ya biashara ya mahindi, nikachkue vijijini tani 32 nilete Dar kuuza kwani kwenye tani nyingi ndo faida ilipo. Mnashaurije wadau? Hilo la kwanza. La pili : Soko nimepata nasikia Kibaha kwa wachina ukipeleka ni fasta tu na malipo ni...
  3. Msaada kusu biashara ya kuuza mahindi

    Habari! Nina mahindi gunia 25 za mahindi, zipo mbinga, Ruvuma. Kwa sasa bei sokoni ipoje? Au naweza kupata makampuni ili kuwauzia mzigo wote kwa pamoja? Au naomba ushauri, niuze kwa namna gani?
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…