Nimeingia shambani kwa tajiri mmoja hapo iringa anafuga ng'ombe , aisee nauliza bei ya ng'ombe nambiwa five m, huyu six m na hatanii kabisa, nikaona huu uboya nimeenda tukuyu mbeya wanakopatikana ngombe wa maziwa nakuta nako bei zimechangamka sana , najiuliza nini kimetokea,nipeni location...