Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Baraka Leonard, amethibitisha kuwa kifo cha aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Peramiho, marehemu Jenista Mhagama, kimesababishwa na maradhi ya Moyo.
Akizungumza wakati wa Ibada ya Misa ya Kuuaga Mwili wa marehemu iliyofanyika katika Kanisa Katoliki...