Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigamboni kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Yericko Nyerere ameahidi kuibadilisha Kigamboni kwa kuhakikisha barabara zote kuu zinawekwa lami.
Akizungumza kwenye mkutano wa kampeni, Yericko amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshindwa kukamilisha mradi wa...