Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Kighoma Malima, kufuatia vifo vya watu kumi katika ajali ya barabarani iliyotokea tarehe 31 Desemba, 2025 mkoani humo.
Ajali hiyo ilitokea katika Kijiji cha Maseyu...