Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Juda Thadaeus Ruwa'ichi amesema 2025 ulikuwa mwaka mgumu na mzito.
Amesema mwaka huo ambao pia ulikuwa Jubilei Kuu, ulikuwa na changamoto hasa kwao kama Watanzania, akisisitiza ulikuwa mgumu, wa majonzi, masikitiko na vifo.
Katika ibada hiyo...