Salaam ndugu zangu wana JF.
Kwa siku mbili sasa nimekua napitia changamoto ya kusimamisha mnara..Nipo kwenye mahusiano na binti kutoka mkoa mojawapo wa nyanda za juu kusini.
Jumanne jioni kulitokea kutokuelewana kati yetu sisi, ikapelekea kusiwe na mawasiliano mazuri.
Baada ya kutokea mgogoro...