askari afariki ajali

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Askari afariki kwenye ajali wengine wajeruhuwa

    Gari la askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji visiwani Zanzibar, limepata ajali na kusababisha kifo cha askari mmoja huku wengine wakijeruhiwa. Mkuu wa Kikosi cha Zimamoto na Uokoaji visiwani Zanzibar, Kamishna Mzee Abdallah, amesema gari hilo lilikuwa kwenye msafara wake, wakati akikagua...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…