Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Hai,lengai ole sabaya anatajwa kuingia kweye kinyanganyiro Cha kugombea nafasi ya ubunge katika Jimbo la Arumeru Magharibi,Kwa tiketi ya Chama Cha CCM.
Sabaya anatarajiwa kuchuana na wagombea wengine 20 waliokwisha chukua fomu za ubunge kupitia Jimbo la Arumeru...