Habari wandugu!
Tokea jana naona app ya halotel inanikatalia kufanya kazi. Nikiingia nakutana na ujumbe unaonambia ni update app yangu. Nikienda play store nakuta hakuna updates zozote yaani app inaniambia "Open" meaning hakuna option ya ku update.
Nimengia katika mfumo wa kawaida wa *150*88#...