Miaka inakimbia kama Tuisila Kisinda/Tk Masta hainisubiri sababu mimi sio special hata ningekua special isingeweza nisubiri.
Ukija kwenye sekta ya mahusiano nako ni afadhali ya jana kuliko leo sijui ndio kusema mtu kadandia mtumbwi wa... kila sehemu nakula za kichwa, nikienda kwa yule...