Wachungaji, mashekhe na ndugu zangu GenZ na wazazi wetu, CCM na genge lao wametuua na wamekunywa damu zetu na bado wanaendelea kunywa damu zetu kupitia ukatili na dhuluma wanaotufanyia.
CCM na tawala zao wanatuwinda kama ndege hakika Mungu awaadhibu kwa adhabu inayofaa na ya kutisha kulingana...