Kwa miaka ya hivi karibuni kipindi cha Amplifaya kinachorushwa na Clouds Fm kuanzia jumatatu hadi ijumaa saa kumi hadi kumi na mbili jioni, kikiendeshwa na Millard Ayo na Frida Amani; kimekuwa kipindi kinachogusia mada mbalimbali kuhusiana na maisha yetu ya kila siku pamoja na desturi zetu kama...